Tunakupa unachohitaji sasa na baadae

Propellerads
  • WELCOME TO Adonisstunner Blog FOR UPDATED NEWS AND ENTERTAINMENTS

    Search

    Jumatatu, 11 Julai 2016

    AJALI MBAYA YA MASHINE YA MAHINDI MANYARA

    Ajali ya kusikitisha imetokea Manyara Hanang katika kata ya Gitting, Marehemu alikuwa akipukuchua Mahindi kwa kutumia Mashine ya Trecta iliyo unganishwa na kinu cha kupukuchulia Mahindi ndipo shuka la kimasai alilokuwa amevaa Marehemu kuingia kwenye mzunguko wa kinu cha kupukuchulia Mahindi na kusababisha marehemu kukatika vipande vitata kichwa pekeyake kifua na mikono pekeyake na Kiuno na miguu pekeyake.. M/mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi...  Amin

    Tuwe makini na mashuka haya ya kimasai watu wengi sana wanapenda kutumia mashuka haya huku wakiwa wamepanda Pikipiki hii ni hatari sana pindi shuka likiingia kwenye mzunguko wa Matairi...



    Hakuna maoni:

    Chapisha Maoni

    Search

    Chapisho Lililoangaziwa

    NEW HIT:OMMY DIMPOZ FT ALIKIBA-KAJIANDAE

    Toa Maoni yako

    Jina

    Barua pepe *

    Ujumbe *

    Wanaofuata

    Propellerads