Tunakupa unachohitaji sasa na baadae

Propellerads
  • WELCOME TO Adonisstunner Blog FOR UPDATED NEWS AND ENTERTAINMENTS

    Search

    Jumatano, 27 Julai 2016

    REINCARNATION: ANGALIA BAADHI YA WATU MAARUFU WANAOSADIKIKA KUZALIWA MARA YA PILI ,,,,YUMO MESUT OZIL ,JAY Z NA WENGINE WENGI,,,,

    Enzo Anselmo Ferrari ni muitaliano aliyekuwa muendesha magari ya mashindano pia mjasiliamali,,,ambaye aligundua magari aina ya FERRARl

    Alizaliwa tarehe 18/02/1898 huko Modena na alifariki tarehe 14/08/1988 

    Miezi mitatu baada ya kufariki Enzo ferrari alizaliwa mwanasoka katika nchi ya ujerumani anaefahamika kwa jina la MESUT OZIL tarehe 15/10/1988 ambaye kwa muonekano na maoni ya wengi wanasema ni Ferrari mwingine aliyezaliwa Ujerumani

    Mesut Ozil kimuonekano na Enzo ferrari wanafanana kama ni mtu mmoja ,,,,,Tazama picha zao hapa⏬⏬⏬⏬



    Usikose kufuatilia mada nyingine kama hii kumuhusu Jay Z hapa hapa adonistunner.blogspot.com

    Hakuna maoni:

    Chapisha Maoni

    Search

    Chapisho Lililoangaziwa

    NEW HIT:OMMY DIMPOZ FT ALIKIBA-KAJIANDAE

    Toa Maoni yako

    Jina

    Barua pepe *

    Ujumbe *

    Wanaofuata

    Propellerads