Tunakupa unachohitaji sasa na baadae

Propellerads
  • WELCOME TO Adonisstunner Blog FOR UPDATED NEWS AND ENTERTAINMENTS

    Search

    Jumatatu, 25 Julai 2016

    ZITTO KABWE AALIKWA MAREKANI

    Kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameondoka nchini mchana huu kuelekea Philadelphia nchini Marekani Kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chama Cha Democrats (Democratic National Convention) utakaomthibitisha Hillary Clinton Kuwa Mgombea Urais kupitia Chama hicho.

    Taarifa iliyotolewa na ACT inasema wakati akiwa kwenye Mkutano huo Zitto atapata Fursa ya Kufanya Mazungumzo Na Viongozi mbalimbali wa Kisiasa duniani, pia atafanya kikao cha maandalizi ya ufunguzi wa tawi la wanachama wa ACT Diaspora la Nchini Marekani.

    Hakuna maoni:

    Chapisha Maoni

    Search

    Chapisho Lililoangaziwa

    NEW HIT:OMMY DIMPOZ FT ALIKIBA-KAJIANDAE

    Toa Maoni yako

    Jina

    Barua pepe *

    Ujumbe *

    Wanaofuata

    Propellerads