Tunakupa unachohitaji sasa na baadae

Propellerads
  • WELCOME TO Adonisstunner Blog FOR UPDATED NEWS AND ENTERTAINMENTS

    Search

    Jumamosi, 5 Novemba 2016

    PICHA : JAMAA AFARIKI DUNIA WAKATI AKITAKA KUWEKA RECORD YA KUVUKA MTO KWA KUTUMIA NYWERE ZAKE

    Sailendra Nath Roy (50) mzaliwa wa India amefariki dunia wakati akitaka kuweka record ya kuvuka mto kwa kutumia nywele zake ambazo anakuwa amezifunga kwenye waya mdogo ambao unakuwa umefungwa nywele zake. 

    Lakini kwa bahati mbaya alipofika katikati ya mto huo ndipo nywele zilig'ang'ania kwenye waya huo na kujaribu kujinasua lakini ikashindikana.

    Roy alianza vizuri

    Hapa ndio baada ya nywele za Sailendra Nath Roy kunasa na kuaza kujaribu kujinasua

    Lakini ilishindikana na mauti yakamkuta

    Wananchi wakijaribu kumvuta kumtoa alipofia baada ya nyele zake kug'ang'ania kwenye waya aliokuwa anautumia kwa kufungia nywele




    Hakuna maoni:

    Chapisha Maoni

    Search

    Chapisho Lililoangaziwa

    NEW HIT:OMMY DIMPOZ FT ALIKIBA-KAJIANDAE

    Toa Maoni yako

    Jina

    Barua pepe *

    Ujumbe *

    Wanaofuata

    Propellerads