Tunakupa unachohitaji sasa na baadae

Propellerads
  • WELCOME TO Adonisstunner Blog FOR UPDATED NEWS AND ENTERTAINMENTS

    Search

    Jumamosi, 17 Desemba 2016

    TUKIO: MBUNGE WA MBEYA "SUGU" ANUSURIKA KIFO

    Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu mbunge Wa Mbeya mjini amenusurika kifo baada ya gari lake kufeli bleki na kumgonga mtoto wa miaka 15 aitwae Rachel ambapo mtoto alifariki dunia wakati akikimbizwa hospitali.

    Mh. Sugu alikuwa akielekea uwanja wa ndege Songwe ndipo alipo fika maeeneo ya Iyunga akapata ajali hiyo mbaya japo yeye na dereva wake hawajapata madhara yeyote mpaka gari hilo lilipo weza kusimama eneo la Tazara Mbeya.

    Aidha gari la polisi lilolokuwa likienda kutoa msaada eneo la ajali hiyo ya Mh. Sugu nalo limepata ajali na kupinduka huku askari wake wanne Kati ya sita waliokuwepo wakijeruhiwa.

    Hakuna maoni:

    Chapisha Maoni

    Search

    Chapisho Lililoangaziwa

    NEW HIT:OMMY DIMPOZ FT ALIKIBA-KAJIANDAE

    Toa Maoni yako

    Jina

    Barua pepe *

    Ujumbe *

    Wanaofuata

    Propellerads