Tunakupa unachohitaji sasa na baadae

Propellerads
  • WELCOME TO Adonisstunner Blog FOR UPDATED NEWS AND ENTERTAINMENTS

    Search

    Jumapili, 31 Julai 2016

    DIEGO COSTA KUTIMKA CHELSEA,,, ALVARO MORATA KUBAKI MADRID

    Kocha wa chelsea Conte,, kasema hana uhakika kama diego costa anaweza kubaki kuwa mchezaji wa chelsea kwa kipindi cha msimu ujao hivyo kauli hiyo inafungua milango kwa costa kuchagua timu ya kutimkia,,,,,

    Hivyo hivyo Kocha wa Real Madrid zinadine Zidane amesema klabu yake haina mpango wa kumuuza mchezaji wao hatari Alvaro Morata kama inavyosikika

    Ila kocha huyo ameongeza kuwa mchezaji wake Jesse anaweza kutimkia PSG baada ya kuonesha nia ya kumnyakua..........

    Hakuna maoni:

    Chapisha Maoni

    Search

    Chapisho Lililoangaziwa

    NEW HIT:OMMY DIMPOZ FT ALIKIBA-KAJIANDAE

    Toa Maoni yako

    Jina

    Barua pepe *

    Ujumbe *

    Wanaofuata

    Propellerads