Tunakupa unachohitaji sasa na baadae

Propellerads
  • WELCOME TO Adonisstunner Blog FOR UPDATED NEWS AND ENTERTAINMENTS

    Search

    Alhamisi, 14 Julai 2016

    ZITTO KABWE LIVE KISIWANI UNGUJA.

    Mbunge WA Kigoma Mjini Mh. Zitto Zuberi Kabwe amefunga ndoa Leo hii katika kisiwa cha Unguja,Zanzibar katika Eneo La Nungwi

    Zitto Kabwe amefunga ndo na Bi. Anna Mtura Leo na kuaga rasmi kambi ya Ukapela.

    Kwa pamoja tunamtakia kilalakheri katika maisha yake ya ndoa.


    Hakuna maoni:

    Chapisha Maoni

    Search

    Chapisho Lililoangaziwa

    NEW HIT:OMMY DIMPOZ FT ALIKIBA-KAJIANDAE

    Toa Maoni yako

    Jina

    Barua pepe *

    Ujumbe *

    Wanaofuata

    Propellerads