Tunakupa unachohitaji sasa na baadae

Propellerads
  • WELCOME TO Adonisstunner Blog FOR UPDATED NEWS AND ENTERTAINMENTS

    Search

    Jumamosi, 20 Agosti 2016

    DIAMOND CHALII TUZO ZA UEA-UGANDA EDDY KENZO KAFUNIKA,,,,

    Msanii Diamond platinum ameshindwa kutamba mbele ya msanii Eddy Kenzo wa Uganda kwenye Tuzo za UGANDA ENTERTAINMENTS AWARDS ambapo tuzo zote mbili zimemwandia msanii Eddy kenzo kutoka uganda,,,,,,,

    1.Artist of the year
    2.Best male artist

    Tuzo hizo zilizofanyika Jana katika ukumbi wa serena hotel Kampala,,na kuhudhuliwa na watu mbalimbali akiwemo mchezaji wa liverpool wa zamani Robie Fowler,,,

    Hakuna maoni:

    Chapisha Maoni

    Search

    Chapisho Lililoangaziwa

    NEW HIT:OMMY DIMPOZ FT ALIKIBA-KAJIANDAE

    Toa Maoni yako

    Jina

    Barua pepe *

    Ujumbe *

    Wanaofuata

    Propellerads