Tunakupa unachohitaji sasa na baadae

Propellerads
  • WELCOME TO Adonisstunner Blog FOR UPDATED NEWS AND ENTERTAINMENTS

    Search

    Jumatatu, 15 Agosti 2016

    [TETESI]_SIXTUS MAPUNDA AKAMATWA NA TAKUKURU.

    Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini .Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Sixtus Mapunda (aliyeƙuwa katibu Mkuu wa jumuiya hiyo na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na TAKUKURU kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa Mahakamani Mapema iwezekanavyo

    Wakati huo huo mdada na aliyekuwa katibu wa UVCCM, iringa wakiendelea kutafutwa,,,

    Source,,Jamiiforum..

    Hakuna maoni:

    Chapisha Maoni

    Search

    Chapisho Lililoangaziwa

    NEW HIT:OMMY DIMPOZ FT ALIKIBA-KAJIANDAE

    Toa Maoni yako

    Jina

    Barua pepe *

    Ujumbe *

    Wanaofuata

    Propellerads