Tunakupa unachohitaji sasa na baadae

Propellerads
  • WELCOME TO Adonisstunner Blog FOR UPDATED NEWS AND ENTERTAINMENTS

    Search

    Jumanne, 27 Septemba 2016

    BREAKING NEWS... RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA RAS, DED, MKOA WA KAGERA,,, PIA MHASIBU MKUU ASIMAMISHWA KAZI,,,

    Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh. John Joseph Pombe Magufuli ameendelea kuonyesha wazi kuwa sio mtu wa "MCHEZO MCHEZO" baada ya kutengua Uteuzi wa RAS, na DED Mkoa wa Kagera baada ya kupata Taarifa za kutaka "Kupiga dili" kupitia Maafa ya Mkoa wa Kagera

    Pia Mh Rais ametoa shukrani zake za dhati kwa serikali ya india baada ya kupokea kiasi cha fedha taslimu million 545 kwaajili ya Maafa ya Mkoa wa Kagera. 


    Hakuna maoni:

    Chapisha Maoni

    Search

    Chapisho Lililoangaziwa

    NEW HIT:OMMY DIMPOZ FT ALIKIBA-KAJIANDAE

    Toa Maoni yako

    Jina

    Barua pepe *

    Ujumbe *

    Wanaofuata

    Propellerads